Habari
- 20-Mar-2026
UZINDUZI WA SERA YA TAIFA YA USIMAMIZI WA MNYORORO WA UGAVI YA MWAKA 2025
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, ina furaha kutangaza uzinduzi rasmi wa Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi ya Mwaka 2025.
Sera hii mpya ni hatua muhimu katika kuimarisha mifumo ya ununuzi, usambazaji, na usimamizi wa rasilimali za umma ili kuhakikisha ufanisi, uwazi, na thamani ya fedha katika sekta zote za kiuchumi.
Maelezo ya Tukio:
________________________________________
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Masoko
Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA)

