emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WAKALA WA HUDUMA YA UNUNUZI SERIKALINI

Ununuzi Unaozingatia Thamani

Habari

    GPSA MSHINDI WA TATU UANDAAJI HESABU ZA MWAKA 2021 NBAA

  • 06-Mar-2023

GPSA yaibuka mshindi wa tatu wa Uandaaji Hesabu kwa mwaka 2021 katika kipengele cha Taasisi za Umma iliyotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) jana Jumatano 30/11/2022 katika hoteli ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.

Tuzo hii ilipokewa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala Prof. Geraldine A. Rasheli.